Natafuta mke wa kufunganae pingu za maisha!!

Natafuta mke wa kufunganae pingu za maisha!!

LOIM

Member
Joined
Mar 16, 2013
Posts
27
Reaction score
1
Ninamanisha Jamani,BINTI Yeyote aliyetayari kunipenda,KUNISIKILIZA na kuolewa na mimi Tuwacliane! Vigezo Awe na umri kati ya 24 na 26,ana asili ya kaskazini,mkristo,ANAJIHESHIMU,Urefu wa wastani,rangi yeyote,mcha mungu! Kikazi nipo Morogoro ila mzaliwa Arusha.Unipm au piga Namba 0686387132/0764965382 kama hauko sirious usinisumbue tafadhali.MMBARIKIWE NDUGU ZANGU!
 
Ninamanisha Jamani,BINTI Yeyote aliyetayari kunipenda,KUNISIKILIZA na kuolewa na mimi Tuwacliane! Vigezo Awe na umri kati ya 24 na 26,ana asili ya kaskazini,mkristo,ANAJIHESHIMU,Urefu wa wastani,rangi yeyote,mcha mungu! Kikazi nipo Morogoro ila mzaliwa Arusha.Unipm au piga Namba 0686387132/0764965382 kama hauko sirious usinisumbue tafadhali.MMBARIKIWE NDUGU ZANGU!


KUNISIKILIZA ...... mbona herufi kubwa sana, .......KUSIKILIZANA sio kigezo chako eehhh!!!!!

copy: jonas200 wenzako wapo huku love connect
 
Last edited by a moderator:
Anaheri Yule atakaye NiPM NA KUMAANISHA KWELI! Am VERRY True!! NC BLESSINGS!!
 
Subiri, si unadhani ni fasheni kutafuta mchumba mtandaoni utadhani huna macho!
 
teh teh mi kanda ya kati nkupigie????halafu utaniowa lini??
 
Mi najua alikojificha, leta pesa nikupeleke ukamuone mkeo
562406_391824147537162_261686161_n.jpg
 
Back
Top Bottom