Natafuta mke wa kuishi naye sibagui sichagui

mlevimbwa

Member
Joined
Feb 27, 2024
Posts
64
Reaction score
133
Wasalam,
Habari hum,natafuta mke wakuishi naye sichagui sibagui yoyote sawa
kigezo:uwe umeajiliwa(mimi bado nasoma)
umri:wowote(mimi 22)
Ntakupenda na kukulinda kama mboni ya jicho langu mwaaah!
 
Unatafuta mtu wa kukulea et πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kijana fanya kazi wew πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Unatuchamba kiTWANGA PEPETA,,Una udugu na Mwimini Mwijuma dogo??
 
Wasalam,
Habari hum,natafuta mke wakuishi naye sichagui sibagui yoyote sawa
kigezo:uwe umeajiliwa(mimi bado nasoma)
umri:wowote(mimi 22)
Ntakupenda na kukulinda kama mboni ya jicho langu mwaaah!
Sema hiviii:
natafuta mwanamke wa kunilea kwa hali na mali na akipendezwa na ww ndio akuoe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…