Digital base
Senior Member
- Jul 19, 2020
- 131
- 199
Habari ya leo wakuu,
Natumia nyote mnaendelea vizuri kabisa
Kama nilivo andika katika kichwa Cha habari kuwa natafuta Mke Wa kuoa aliye siriasi na ambaye yuko tayari kuanza mahusiano ya ndoa
Mimi ni kijana wa miaka 30
Shughuri yangu mjasiriamali
Elimu yangu kidato Cha nne
Muonekano wangu ni mwembamba na rangi ni maji ya kunde
Naishi Dar Es Salaam
Mke nnaye muhitaji
Awe na elimu kuanzia kidato Cha nne
Awe maji ya kunde au mweupe
Awe na muonekano mzuri
Awe ni msikivu na mtii
Asiwe anatumia kilevi chochote
Awe mkweli na muwazi kwa kila kitu
Asiwe mbinafsi kwa kila pesa na vitu tunavyo kusanya aone kama ni vyetu si vya mmoja
Awe ni mtu anaye penda maendeleo ya pamoja kama familia si pesa ime patikana ana taka apewe ili anunue vitu vyake binafsi hilo hapana
Lazima tufanye Jambo kwa pamoja na tufanye maendeleo ya pamoja kama kujenga nyumba, kuanzisha miradi mipya n.k
Hata kama hauna shughuri ya kufanya tuta fanya wote shughuri nnazo fanya
Uliye siriasi unaweza kuni tafuta pm ama kwa email yangu travoradriano@gmail.com
Sita jibu comment hapa public pia kutokana na baadhi ya members kupinga post za namna hii sito jali kwa utakaye ongea baya lolote najua yote yana pita tu
Muhimu lengo langu ni moja tu natafuta Mke
Natumia nyote mnaendelea vizuri kabisa
Kama nilivo andika katika kichwa Cha habari kuwa natafuta Mke Wa kuoa aliye siriasi na ambaye yuko tayari kuanza mahusiano ya ndoa
Mimi ni kijana wa miaka 30
Shughuri yangu mjasiriamali
Elimu yangu kidato Cha nne
Muonekano wangu ni mwembamba na rangi ni maji ya kunde
Naishi Dar Es Salaam
Mke nnaye muhitaji
Awe na elimu kuanzia kidato Cha nne
Awe maji ya kunde au mweupe
Awe na muonekano mzuri
Awe ni msikivu na mtii
Asiwe anatumia kilevi chochote
Awe mkweli na muwazi kwa kila kitu
Asiwe mbinafsi kwa kila pesa na vitu tunavyo kusanya aone kama ni vyetu si vya mmoja
Awe ni mtu anaye penda maendeleo ya pamoja kama familia si pesa ime patikana ana taka apewe ili anunue vitu vyake binafsi hilo hapana
Lazima tufanye Jambo kwa pamoja na tufanye maendeleo ya pamoja kama kujenga nyumba, kuanzisha miradi mipya n.k
Hata kama hauna shughuri ya kufanya tuta fanya wote shughuri nnazo fanya
Uliye siriasi unaweza kuni tafuta pm ama kwa email yangu travoradriano@gmail.com
Sita jibu comment hapa public pia kutokana na baadhi ya members kupinga post za namna hii sito jali kwa utakaye ongea baya lolote najua yote yana pita tu
Muhimu lengo langu ni moja tu natafuta Mke