Natafuta mke wa kuoa ambaye yupo tayari kuolewa

Natafuta mke wa kuoa ambaye yupo tayari kuolewa

Ahadi ya kweli2017

New Member
Joined
Oct 12, 2017
Posts
4
Reaction score
4
Habari najitokeza kwa mara ya kwanza kutafuta mke wa kuoa nipo serious na ombi langu ninalo lileta kwenu.

Naitwa Jackson mwenye umri wa miaka 34.Nina Elimu ya chuo kikuu,mimi ni mweusi ,kabila mnyamwezi ,dini mkristu,sijawahi kuoa,mtoto sina,.sigara situmii,pombe sinywi,kazi mwajiriwa,nina urefu wa wastani,sio mnene sana.

Mke ni mtakaye awe mwenye sifa zifuatazo:
a)Asiwe na weupe wadukani wala kutumia kemikali za kumfanya awe mweupe.
b)Asiwe na mtoto
c)Awe hajawahi kuolewa
d)Dini yeyote.
g)Kabila lolote.
e)Anayejua thamani ya Ndoa yake
f)Mwenye mapenzi ya dhati na yupo serious kuolewa
g)Pombe wala sigara asitumie
N:B kama upo serious na ombi langu wasiliana kwa +255756711958 au ni PM kwa mawasiliano zaidi.Pia samahani ndugu zangu mke anapatikana popote pale kuoa hakuna kanuni,
 
Best luck mkuu,naona umedhamiria kweli kupata mke

Mungu akusaidie
 
  • Thanks
Reactions: sho
Hapo kwenye sifa ( a) ungewalegezea kidogo mkuu
wachache sana wenye rangi zao natural bila machubuzi chubuzi ngozi
 
  • Thanks
Reactions: sho
Haya warembo mliokuwa single humu maana kila cku mnalialia fursa hiyo
 
  • Thanks
Reactions: sho
kila kitu ninacho ila sasa nasikiaga kama hunywi pombe, sigara huvuti eti una kaulevi kako special
 
Habari najitokeza kwa mara ya kwanza kutafuta mke wa kuoa nipo serious na ombi langu ninalo lileta kwenu.

Naitwa Jackson mwenye umri wa miaka 34.Nina Elimu ya chuo kikuu,mimi ni mweusi ,kabila mnyamwezi ,dini mkristu,sijawahi kuoa,mtoto sina,.sigara situmii,pombe sinywi,kazi mwajiriwa,nina urefu wa wastani,sio mnene sana.

Mke ni mtakaye awe mwenye sifa zifuatazo:
a)Asiwe na weupe wadukani wala kutumia kemikali za kumfanya awe mweupe.
b)Asiwe na mtoto
c)Awe hajawahi kuolewa
d)Dini yeyote.
g)Kabila lolote.
e)Anayejua thamani ya Ndoa yake
f)Mwenye mapenzi ya dhati na yupo serious kuolewa
g)Pombe wala sigara asitumie
N:B kama upo serious na ombi langu wasiliana kwa +255756711958 au ni PM kwa mawasiliano zaidi.Pia samahani ndugu zangu mke anapatikana popote pale kuoa hakuna kanuni,
 
Acheni mzaha jamaa ana nia ya dhati ya kupata jiko Mungu akubariki sana upate Mke mwema
 
Habari najitokeza kwa mara ya kwanza kutafuta mke wa kuoa nipo serious na ombi langu ninalo lileta kwenu.

Naitwa Jackson mwenye umri wa miaka 34.Nina Elimu ya chuo kikuu,mimi ni mweusi ,kabila mnyamwezi ,dini mkristu,sijawahi kuoa,mtoto sina,.sigara situmii,pombe sinywi,kazi mwajiriwa,nina urefu wa wastani,sio mnene sana.

Mke ni mtakaye awe mwenye sifa zifuatazo:
a)Asiwe na weupe wadukani wala kutumia kemikali za kumfanya awe mweupe.
b)Asiwe na mtoto
c)Awe hajawahi kuolewa
d)Dini yeyote.
g)Kabila lolote.
e)Anayejua thamani ya Ndoa yake
f)Mwenye mapenzi ya dhati na yupo serious kuolewa
g)Pombe wala sigara asitumie
N:B kama upo serious na ombi langu wasiliana kwa +255756711958 au ni PM kwa mawasiliano zaidi.Pia samahani ndugu zangu mke anapatikana popote pale kuoa hakuna kanuni,
Kaka umetaja elimu ila umesahau kutaja mshahara... weka mambo hadharani tukutathmini kama unafaa kuonewa huruma.
 
Mimi nina mtoto kwahiyo sina sifa kuwa wife single mather
 
Habari najitokeza kwa mara ya kwanza kutafuta mke wa kuoa nipo serious na ombi langu ninalo lileta kwenu.

Naitwa Jackson mwenye umri wa miaka 34.Nina Elimu ya chuo kikuu,mimi ni mweusi ,kabila mnyamwezi ,dini mkristu,sijawahi kuoa,mtoto sina,.sigara situmii,pombe sinywi,kazi mwajiriwa,nina urefu wa wastani,sio mnene sana.

Mke ni mtakaye awe mwenye sifa zifuatazo:
a)Asiwe na weupe wadukani wala kutumia kemikali za kumfanya awe mweupe.
b)Asiwe na mtoto
c)Awe hajawahi kuolewa
d)Dini yeyote.
g)Kabila lolote.
e)Anayejua thamani ya Ndoa yake
f)Mwenye mapenzi ya dhati na yupo serious kuolewa
g)Pombe wala sigara asitumie
N:B kama upo serious na ombi langu wasiliana kwa +255756711958 au ni PM kwa mawasiliano zaidi.Pia samahani ndugu zangu mke anapatikana popote pale kuoa hakuna kanuni,
Nenda Ahera ulizia waliotangulia labda atakuwepo mmoja huku mhu sidhani.
Ungezaliwa enzi zangu ungewakusanya kibao ila kwa sasa mwanangu/mjukuu pole.
 
Back
Top Bottom