gubegubekubwa
JF-Expert Member
- Jun 9, 2008
- 668
- 898
Hivi nyie watu mkoje lkn Love Connect huioni? Au unajianzishia mthread tu popote? Km hujaingia muda soma mazingira kwanza kuna mabadiliko mengi
<br />Aiseeee!<br />
<br />
<b>via Mobile</b>
Naona unanitia moyo,Ila ningependa nimpate mwaka huu ili nikija tz tunamalizia tu.
Mkuu natafuta msichana wa kuoa,
na hawa old member wao hawatafuti wachumba? Au ndo mnawaachia hawa wapya tu, kwanini lkn?
eti umesemaa......?
na hawa old member wao hawatafuti wachumba? Au ndo mnawaachia hawa wapya tu, kwanini lkn?
msichana?
mbona unataka kufungwa sasa?
labda kama binti sawa ila msichana duh,haujipendi wewe
ndio hao hao wanabadili user name zao, haiwezekani kila anayetafuta mchumba awe new member
wewe ukirudi utapata siku hiyohiyo
Wana jf heshima zenu kwanza.Natafuta mweza awe kuanzia miaka 23-27,Elimu form six.Mimi kwa sasa niko ughaibuni nasoma nategemea kurudi Tanzania mwakani by july nima miaka 29.Kwa yeyote anayenikubali ani PM ili mawasiliano mengine yaanze na kujuana zaidi.
hata mke wako anaolewa tu ukikaa vibaya,zama za kale zimepita"mke" wa "kuoa"..........???
nahisi sijui kiswahili,....unatafuta mke wa kuoa,au,yaani unatafuta mtu ambaye unae tayari,....
this is funny