Luqman Abdulrazak
Member
- Jun 28, 2018
- 6
- 12
Utapata mkuu wapo wengi mno maana wanaume wa huku wanakuja kuoa kwenu
mambo ya kenya talk hayo[emoji23][emoji23][emoji23]
hii lafudhi mbona ni ya TZ?[emoji56]Naitwa Luqman kutoka Kenya nko na 28yrs na natafuta mchumba umri wake uwe chini ya 28yrs, awe atleast amefika secondary kidato cha sita Tanzania. Rangi na kimo chochote sichagui wala dini pia. Mi mrefu 5.9ft and brown, holder of Bachelors Degree in Procurement. Ikiwa upo tafadhali naomba tuwasiliane kupitia Private Message.
hii lafudhi mbona ni ya TZ?[emoji56]