Muombe Mungu mkuu tatizo binadam wabishi
Unasema ww hauna takoMmmh sisi tusio na matako sikuhz hatuolewi [emoji30][emoji32][emoji32][emoji32]. Subiri watakuja wanaosari na wenye tako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Amina mkuu.......Muombe Mungu mkuu tatizo binadam wabishi
Tumekuwa wavivu kusali, Ngoja nikupe Siri
Mungu wetu ni mwaminifu Sana amka saa nane Usiku sali mweleze unachotaka
Hakika atakujibu cha msingi omba kutoka rohon kabsaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujaelewa ulichokisoma mkuu soma elewa ndio uchangieeeSawa mvulana wa miaka 30.
Tanzania ya leo mwanamke mwenye tako ana thamani kuliko mwanamke mwenye akili na mcha Mungu!
Wanakuja mkuu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi na wwMmmh sisi tusio na matako sikuhz hatuolewi [emoji30][emoji32][emoji32][emoji32]. Subiri watakuja wanaosari na wenye tako.
Sent using Jamii Forums mobile app