Natafuta MKE WA KUOA

Apate wapi?anataka mwalimu vile engine za kuunda zikikosa anaendelea na mshahara wa teacher!!!

wapi we 7bu yako haija tajwa, we unaeza ikawa unauza vi2mbua japo ni kazi yako hainisaidii inakusaidia ww mwenyewe ila sor kama nimekuuth,
 
Narudia tena. Vijana wa siku hizi mmezidi udomo zege. Mke hapatikani kwenye keyboard.
 

oops! sifa zote ninazo' isipokua no.3 mmh! mie secretary.
 
Tembelea kwenye vyuo vya ualimu.

teh teh teh Ngoja nimuelekeze. Ndugu bigman wewe kwenu Moshi. Sasa usipate tabu nenda mpaka himo halafu panda gari za kwenda Kilema via mandaka. Waambie wakushushe Mandaka girls ttc.
Hapo mkuu naamini kabisa utapata umtakae tena wa dizaini yoyote wapo mpaka wa kanda ya ziwa. Hapo girls wamejaa wa kutosha tu kama elfu moja na zaidi. All the best mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…