Amos David Mathias
JF-Expert Member
- Sep 3, 2022
- 1,576
- 3,094
MmmmmhKuna maneno uliniambiaga niliyatafakari moezi.
Yaani kukaaa kufua boxer za mtu mpaka vidole vinuke gololi?
Imagine same dick forever?
Imagine kumfanyia mambo yoote mtu mzima mwenye meno 32 na Bado akupige,akucheat....
Ndoa ni upuuuuzi uliotikizwa sana...
Labda ukibahatika kupata bahati
AhsanteKwani wakuu kuoa mwanamke aliezaa kuna shida gan?
Mie binafsi mpaka sasa hivi sijaona kuwa kuna shida yoyote.
Kuhusu kugongewa hiyo ni tabia ya mtu binafsi.
Labda kidogo ungesema kuhusu kuhudumia mtoto asie wa kwako baadae aje kukusaidia uzeeni hili pia halina guarantee kuwa atakusaidia ama laa, anaweza akawa wa kwako na baadae hata asije kukusaidia.
Hivi kuna yupo aliwahi kufanya hivi au ni fikra zako tu?[emoji3][emoji3]Kwa sifa ulizotaja hasa hili la awe amezaa na umri wa 35 nadhani inbox yako imejaa.
Maana ungepanda mwendokasi wa feri Kimara ukamuambia dereva atoe hili tangazo, walah ungepatia mule mule mwendokasini.
🤣🤣🤣🤣🤭Kuna maneno uliniambiaga niliyatafakari moezi.
Yaani kukaaa kufua boxer za mtu mpaka vidole vinuke gololi?
Imagine same dick forever?
Imagine kumfanyia mambo yoote mtu mzima mwenye meno 32 na Bado akupige,akucheat....
Ndoa ni upuuuuzi uliotikizwa sana...
Labda ukibahatika kupata bahati
Mungu akufunulie mema yakeKuna maneno uliniambiaga niliyatafakari moezi.
Yaani kukaaa kufua boxer za mtu mpaka vidole vinuke gololi?
Imagine same dick forever?
Imagine kumfanyia mambo yoote mtu mzima mwenye meno 32 na Bado akupige,akucheat....
Ndoa ni upuuuuzi uliotikizwa sana...
Labda ukibahatika kupata bahati
Anakuja nao pia 🤣🤣🤣Awe amezaa watoto wasiozidi 2.
Umri wangu ni miaka 30, kwa sasa natafuta mke wa kuoa awe na Umri 18 - 35 awe mkristo
Awe amezaa watoto wasiozidi 2oi
MkuuUmri wangu ni miaka 30, kwa sasa natafuta mke wa kuoa awe na Umri 18 - 35 awe mkristo
Awe amezaa watoto wasiozidi 2.
Baba yao ataruhusiwa kuja kuwatembelea na kuwaletea mahitaji?🤭🤭🤭Atakavyoona inafaa,
Kwa upande wangu nitapendekeza aje nao maana watoto wake najua ndo kila kitu kwake hapa dunian na watakuwa watoto wetu kwa pamoja.
Mtoto hana hatia siku zote
Fanya utafiti wko vizur binadam tunatofautiana sana ndo maana pia kuna mapadri ambao kilicho kigum kwako wao wamekiweza.S
Mkuu
Sio kwamba una matatizo kwa ikulu!!!?
Coz hakuna mammalia wa kiume mwenye tabia hizi zako!!
From animal psychology point of view hakuna anaetaka kuoa mwenye mtoto labda kuwe kuna shida mahali katika cycle yako ya life!!!
Kwahiyo unataka dick tofauti tofauti? Mhh ila siku hizi mnajitoa fuse duhKuna maneno uliniambiaga niliyatafakari moezi.
Yaani kukaaa kufua boxer za mtu mpaka vidole vinuke gololi?
Imagine same dick forever?
Imagine kumfanyia mambo yoote mtu mzima mwenye meno 32 na Bado akupige,akucheat....
Ndoa ni upuuuuzi uliotikizwa sana...
Labda ukibahatika kupata bahati
Baba yao akiwahitaj mama yao atawapeleka, kuchapiwa ni akili tu ya mwanamke hata ufanye nn akiamua kukucheat anawezaBaba yao ataruhusiwa kuja kuwatembelea na kuwaletea mahitaji?[emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Kama jibu ni ndio nikupe demu wangu ana mtoto mmoja
Kuna watu mnapenda vifo vya mapema 😅😅Baba yao akiwahitaj mama yao atawapeleka, kuchapiwa ni akili tu ya mwanamke hata ufanye nn akiamua kukucheat anaweza
Heshima ndo kitu cha msingi