HSE Officer
JF-Expert Member
- Apr 10, 2023
- 665
- 892
Ofisa wa benki anashinda mtandaoni jf, kakosa mke hata kwenye wateja wakina mama wa kila aina wanao kuja kukopa benki......wewe sio bure utakua muongo au unamatatizo makubwa kuna kazi huwexi kukosa mke labda uwe muathirika wa HIV na workmate wote wamesha kujua.Miaka yangu ni 37
Naishi mkoa wa Dar
Kazi yangu kwa sasa AFISA WA BANK ( jina kapuni
Miaka kuanzia 25 kuja juu chini ya 25 usije Dm
Awe na mtoto kama huna mtoto usije coz mimi nina watoto
Awe muwazi na mkweli
Mwenye kuheshimu kila mtu
Elimu yoyote
Awe na nia ya kweli kuanza maisha na mimi
Dini yoyote ile kikubwa Awe na mapenz ya dhati kwa sababu nilishawahi kuumizwa na mapenz
SawaOfisa wa benki anashinda mtandaoni jf, kakosa mke hata kwenye wateja wakina mama wa kila aina wanao kuja kukopa benki......wewe sio bure utakua muongo au unamatatizo makubwa kuna kazi huwexi kukosa mke labda uwe muathirika wa HIV na workmate wote wamesha kujua.
SawaKuna mke wa kuoa na kuna mke wa kufanyaje?
Ila humu kunahitaj roho ngumu kupost kitu π€π€π€ππππππππππππππ€£π€£π€£π€£Ofisa wa benki anashinda mtandaoni jf, kakosa mke hata kwenye wateja wakina mama wa kila aina wanao kuja kukopa benki......wewe sio bure utakua muongo au unamatatizo makubwa kuna kazi huwexi kukosa mke labda uwe muathirika wa HIV na workmate wote wamesha kujua.
Kweli mkuuIla humu kunahitaj roho ngumu kupost kitu [emoji848][emoji848][emoji848][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa nn mkuumnatafuta wanawake wa kuoa katika mazingira magumu sana
Hata wew njooWanakuja wenye watoto wamekumbukwa[emoji3][emoji3]
Sio tu jf mkuu kutafuta mke wa kuoa mtandaoni hii kitu ni ngumu japokuwa ni kweli kwamba tulioko huku ndio tupo na mitaani lakini mara nyingi huku tunaishi kimaigizo zaidi kuliko uhalisiaKwa nn mkuu
Vijana hawajui nguvu ya imani ilivyo!!Naomba tilia mkazo hapoππ
Kwakweli hawajui tu mambo yalivo magumuVijana hawajui nguvu ya imani ilivyo!!
oya hilo jina lako nimecheka kinoma.Ila humu kunahitaj roho ngumu kupost kitu [emoji848][emoji848][emoji848][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
πππ Cheka tu mwaya uwongeze siku,dunia yenyewe haielewekioya hilo jina lako nimecheka kinoma.
dunia haiishi vituko aisee
Unatafuta kitombi mwenzako, wenzako wanatafuta mabikiraMiaka yangu ni 37
Naishi mkoa wa Dar
Kazi yangu kwa sasa AFISA WA BANK ( jina kapuni
Miaka kuanzia 25 kuja juu chini ya 25 usije Dm
Awe na mtoto kama huna mtoto usije coz mimi nina watoto
Awe muwazi na mkweli
Mwenye kuheshimu kila mtu
Elimu yoyote
Awe na nia ya kweli kuanza maisha na mimi
Dini yoyote ile kikubwa Awe na mapenz ya dhati kwa sababu nilishawahi kuumizwa na mapenz