Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu c tunasaidiana maishaMwanaume anayehitaji mwanamke mwenye kazi ni muoga wa maisha..!
Hela za mke ni zake, wewe hazikuhusu usizipigie mahesabu mpaka atake yeye.
Kama unaoa mke ili msaidiane maisha basi mtagombana kila siku.Mkuu c tunasaidiana maisha
Umesema kweliMwanaume anayehitaji mwanamke mwenye kazi ni muoga wa maisha..!
Hela za mke ni zake, wewe hazikuhusu usizipigie mahesabu mpaka atake yeye.
Kuanzia umezaliwa, umesoma primary, secondary, chuo, kazini, kanisani, mitaani unapoishi, kwenye daladala, sokoni, nk kote huko hujawahi kukutana na mwanamke mwenye hizo sifa? Au una tatizo lingine?Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29
Naishi Morogoro
Dini mkristo
Kazi ni mwalimu
Mke awe na sifa hizi;
Mrefu kiasi
Awe na kazi sio golikipa
Miaka 20_27
Awe na tabia njema
Ukiwa na sifa hizo please nicheki PM