Natafuta mke wa kuoa

Natafuta mke wa kuoa

M24 Headquarters-Kigali

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
8,199
Reaction score
8,186
Salam mi mwanaume, miaka 35, natafuta mke, awe mkristu, angalau ellimu ya kidato cha 6 na kuendelea, awe mnene, kwa sasa najishughulisha na biashara
 
Salam mi mwanaume, miaka 35, natafuta mke, awe mkristu, angalau ellimu ya kidato cha 6 na kuendelea, awe mnene, kwa sasa najishughulisha na biashara

sio mahali pake hapa mkuu kama vipi nenda mahusiano ila labda umuulize HCL atakusaidia
 
Mmu ndiyo atapata kwa haraka Mods tafadhali ipelekwe kule.
 
mmh kwahiyo la7 na vimbaumbau hatuna nafasi:tongue:
 
hadi hapo unaonekana umeshachanganyikiwa, hujielewi hata unachokifanya. wanawake wanapenda mwanaume anayejiamini, mwenye uwezo wa kumuapproach na kumtongoza sio mwanaume anayejinadi mtandaoni.
 
Back
Top Bottom