Habari zenu marafiki mimi ni mwanaume nina miaka 28 elimu yangu ni degree ya computer natafuta msichana mwenye vigezo hivi awe mke wangu Mungu akipenda
1.Awe ameokoka(Mkristo)
2.Mwenye umri wa miaka 18-24
3.Mweupe mfupi wa 130-150 cm
4.Asiwe mwongo
Kwa aliyetayari ani PM please hivi ni vigezo vyangu naomba uzingatie pia kama unatania usinitafute
1.Awe ameokoka(Mkristo)
2.Mwenye umri wa miaka 18-24
3.Mweupe mfupi wa 130-150 cm
4.Asiwe mwongo
Kwa aliyetayari ani PM please hivi ni vigezo vyangu naomba uzingatie pia kama unatania usinitafute