Natafuta mke wa kuoa

Natafuta mke wa kuoa

kutwamara3

Senior Member
Joined
Jul 16, 2013
Posts
170
Reaction score
27
Wakuu habari zenu mimi ni kjana ambaye bado nipo masomoni chuo lakini nimedhamiria kuoa. Age iwe 18+ wala kabila sio tatizo kwangu ila huyo mke anatakiwa awe muislam.Mengine tutazungumza private na ambaye atakuwa tayari.Kwa yule aliye tayari ani PM
 
Back
Top Bottom