Nahitaji kuoa mke wa pili awe na sifa zifuatazo:-
Karibu inbox na nikipata nitatoa taarifa hapa
- Dini yoyote ila watoto wangu watakuwa wakristo
- Umri kati ya miaka 25 hadi 35
- Awe mwajiriwa.
- Awe tayari kuwa mke.
- Akiwa na mtoto mmoja tayari hakuna shida.
- Asiwe mgomvi wala mchokozi wala kupenda ugomvi.
- Asiwe mtu wa kuchukua mikopo pasipo makubaliano.
- Awe mkazi wa Arusha
Karibu inbox na nikipata nitatoa taarifa hapa