Kumbuka, si kwa ajili ya uwezo wa kifedha, nadhani ni principal zangu na mafundisho ya kidini, mgeni ni siku tatu ya nne anakuwa mwenyeji.
Of course, kama wana shida genuine ntawasaidia, lakini kuwasaidia si lazima wajazane kwangu.
Katika hayo masharti, gumu ni lipi? naomba nijuze, kama naweza kulitetea ntalitetea, la ni la kudhalilisha ntajirekebisha. Leta vitu.
kuwa mke wa tatu ndugu yangu,hapana maana najua hata hiyo dini mnayodai mnaifata haijasema kuwa ni oazma kuwa na wake zaidi ya mmoja,ni ruhusa tu tena kwa sababu maalum na mwisho msisitizo ni bora muwa na mmoja kwa sababu uadilifu kiubinaadam huwezi,na wewe kwa nini hutaki maradh kwani tumependa kuumwa au mtu utakuwa mzima siku zote
Ahsante kwa hilo, nakubaliana na wewe mia kwa mia kuwa katika uIslam tu ndio kuna sentensi "mmoja tu" ikimaanisha kama hamtoweza kufanya uadilifu. Nakubaliana nawe kuwa tumeruhusiwa zaidi ya mmoja kwa sababu maalum, na nnashukuru sana kwa kuwa sababu ninazo tena ni nzuri tu, ni ya kiuchumi na kijamii.
Nimefurahi sana kuona kuwa yale masharti yangu mengine hayakuwa tatizo ila hilo moja na ambalo lina ufunuzi, sababu nnazo mbili. Sidhani kama utataka uzijuwe, la ikiwa utataka uzijuwe ntakuwekea hapa.
ningeshukuru ningezifahamu
Hapana baba jamani,ila wazito hawabebeki,si unaona masharti juu hapo
Ahh hii ya kutojaziana wageni nimeipenda haswaaaa,maana kuna makabila jamani sio siri kichefuchefumaana utawasikia (UHU NI MWANA WA SHANGAZI YANE KABISA)wageni mwaka mzima mgeni gani wewe,ila ndio hivyo hayo masharti mengine ndio hapo chacha!!!
kuwa mke wa tatu ndugu yangu,hapana maana najua hata hiyo dini mnayodai mnaifata haijasema kuwa ni oazma kuwa na wake zaidi ya mmoja,ni ruhusa tu tena kwa sababu maalum na mwisho msisitizo ni bora muwa na mmoja kwa sababu uadilifu kiubinaadam huwezi,na wewe kwa nini hutaki maradh kwani tumependa kuumwa au mtu utakuwa mzima siku zote
ningeshukuru ningezifahamu
Are you interested?
Hapana jamani ila nawasaidia hao wanaoPM,wewe tu mchakamchaka wako jasho linanitoka nikatafute na kibabu cha kipemba cha nini mieAre you interested?
Hapana jamani ila nawasaidia hao wanaoPM,wewe tu mchakamchaka wako jasho linanitoka nikatafute na kibabu cha kipemba cha nini mie
Hahahahaha! Kiongozi bana dah!
Mi nlifikiri unashangazwa na nzi tu.
Hapana jamani ila nawasaidia hao wanaoPM,wewe tu mchakamchaka wako jasho linanitoka nikatafute na kibabu cha kipemba cha nini mie
:tape2::tape2::tape2:
:tape2::tape2::tape2:
Babu amekosa la kusema...inaelekea kiongozi unasokomeza kama msumeno mpaka shosti hana time ya kuwa mke wa tatu kwa mtu.Viipi tena babu mbona kimya?
Hicho kilimo cha Pwani ndo kimenistua. Manake mvua hamna na mpango wa KILIMO KWANZA haujaelekezwa huko...huyo n'ke wa tatu mbona atalimia kucha?mh ongea babu kimya kibaya,saidia wajukuu huko wanatafutwa kwenda lima pwani huko ohooo
Ahh hii ya kutojaziana wageni nimeipenda haswaaaa,maana kuna makabila jamani sio siri kichefuchefumaana utawasikia (UHU NI MWANA WA SHANGAZI YANE KABISA)wageni mwaka mzima mgeni gani wewe,ila ndio hivyo hayo masharti mengine ndio hapo chacha!!!
Swali lako zuri sana, natafuta mke? sasa kama kuna wake wa kiume? inabidi unijuze, are you interested kuwa mke wa kiume?