Natafuta Mke Wa Tatu

wa nini? kwanini mnapenda kutesa wanawake?

Nani huyo anaependa kutese wanawake, nionyeshe nikam...

Mie hamna kitu napenda kama wanawake duniani, wa halali. Halafu niwatese?
 
Nani huyo anaependa kutese wanawake, nionyeshe nikam...

Mie hamna kitu napenda kama wanawake duniani, wa halali. Halafu niwatese?

Haaahaaa! Usiwachukue wote lakini ukawapeleka nyumbani kwako. Watakupindua kichwa chini miguu juu in less than ten minutes za kukaa nao
 
Haaahaaa! Usiwachukue wote lakini ukawapeleka nyumbani kwako. Watakupindua kichwa chini miguu juu in less than ten minutes za kukaa nao

Ungesoma post za juu huko ungenielewa, wawili wa sasa kila mmoja na kwake, tena shambaaa sio mjini, huyu watatu nae ndio hivyo hvyo, na yeye shambaaa tena mbali na hawa wawili. Niwaweke pamoja? si wataniuwa.
 
Ungesoma post za juu huko ungenielewa, wawili wa sasa kila mmoja na kwake, tena shambaaa sio mjini, huyu watatu nae ndio hivyo hvyo, na yeye shambaaa tena mbali na hawa wawili. Niwaweke pamoja? si wataniuwa.

Hiyo staili yako nimeipenda...wanakubaliana na hiyo habari ya kugawana madaraka ya aina hiyo kweli?
 
Hiyo staili yako nimeipenda...wanakubaliana na hiyo habari ya kugawana madaraka ya aina hiyo kweli?

Wanakubaliana kwa kuwa wote hao wawili wanapata haki zao kikamilifu.
 
bibi yangu mzaa baba amesema yuko teyari. anakauwezo kidogo halali njaa. anawajukuu 45 watoto 9. punda kwa ajili ya kulimia 12 ana shamba la nguruwe wapatao 43 hivi huko kibaha. mashamba sikumbuki idadi kwa sasa ana miaka 63. hana haja ya kupima aliachana na mumewe miaka 30 iliyopita. hajawahi kuolewa tena wala kuwa na boyfriend kwa sasa yuko London kwa moja ya wajukuu zake. mahari yake tunahitaji ngómbe 17 wa kisasa, ngurue dume 13, ngamia 7. picha yake iko hapo chini. karibu kwetu



View attachment 33952
 
Huna nguvu wala ubavu wa mke wa tatu. Sasa Jiunge JF saccoss ili ukutane na kubuhu kama mimi nikuzindue. Changamka kujiunga na JF nitumie message kwenye simu namba 0655 447788, nipe jina lako halisi, namba ya simu, email address.

Enjoy best! jiunge upate third wife!
 
Au ndio umempa namba kijanja, ili ukamate bingo!?
 
Veery funny..ila imekosea njia, ilitakiwa iende kunako page ya jokes..
 

Watch out hiyo age range,utashitakiwa kwa kubaka na kufungwa miaka30 jela na hao wake zako wa2 atawacha wakihangaika for life!!!!!!!!!
 
Watch out hiyo age range,utashitakiwa kwa kubaka na kufungwa miaka30 jela hao wake zako wa2 atawacha wakihangaika for life!!!!!!!!!

Nimeitazama na ndio maana nikaiweka kwa makusudi kabisa, sheria za Tanzania zinaniruhusu.
 

Ahsante sana Caroline, naomba kuweka wazi kuwa ntakupigia si kwa ajili ya kujiunga saccos, ntakupigia kwa tamaa zangu za kiume na kama utakubali kuongelea ndoa. Naomba nijulishe kwa neno moja tu "OK". Tumia email hii: zomba1on@yahoo.com
 
Au ndio umempa namba kijanja, ili ukamate bingo!?

Umeona eeh? x-paster nakuaminia na kwa kuwa ni mmoja wa masheikh wa JF ntakualika uwe shahid mambo yakiiva.
 
Unajipenda wewe? Unataka kuoa mtoto mwenye miaka 14?

Kama sheria za Tanzania zinaniruhusu jamani kwanini nisizitumie ipasavyo. Unajuwa ndogo ndogo hizi zinapunguza gharama za viagra kwa sisi tunao age. Halafu ukisoma vizuri post yangu, hiyo ni range tuu, nimefika mpaka 65 kuonesha kuwa age sio muhimu kwangu. Muhimu tukubaliane tu na asiwe golikipa.
 

Nimemkubali niunganishe nae, tena nimeupenda huo mwanya wake wa pembeni. Lakini hilo ni sharti la lazima kwani (hapo nilipoweka nyekundu) inaonesha yuko kwenye "high risk" kwa kuwa kakaa muda mrefu bila mume, unafikiri kwa kuwa ni bibi yako ndio hafanyi? au hujui babu yako alimuacha kwa nini? muulize akwambie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…