Mtabibu wa kweli 000
New Member
- Nov 30, 2017
- 2
- 3
Habari.
Umri wangu ni miaka37 natafuta mwanamke wakuoa. Kazi nimejiajiri.
Mwanamke ni mtakaye.
Awe na umri kuanzia 28 nakuendelea.
Awe tayari kuishi popote,Asiwe mrefu Sana,,mwenye upendo wakweli,Dini yeyote.
Karibu sana iwapo upo serious tu maana muda ukuta.
Umri wangu ni miaka37 natafuta mwanamke wakuoa. Kazi nimejiajiri.
Mwanamke ni mtakaye.
Awe na umri kuanzia 28 nakuendelea.
Awe tayari kuishi popote,Asiwe mrefu Sana,,mwenye upendo wakweli,Dini yeyote.
Karibu sana iwapo upo serious tu maana muda ukuta.