Mtabibu wa kweli 000
New Member
- Nov 30, 2017
- 2
- 3
Kupitia andiko lako hilo, nawasilisha ombi kwa niaba ya huyu jamaa yangu #Oruseguni hayupo hapa JF yupo X tu.Habari.
Umri wangu ni miaka37 natafuta mwanamke wakuoa. Kazi nimejiajiri.
Mwanamke ni mtakaye.
Awe na umri kuanzia 28 nakuendelea.
Awe tayari kuishi popote,Asiwe mrefu Sana,,mwenye upendo wakweli,Dini yeyote.
Karibu sana iwapo upo serious tu maana muda ukuta.
Anzisha uzi wako mkuuKupitia andiko lako hilo, nawasilisha ombi kwa niaba ya huyu jamaa yangu #Oruseguni hayupo hapa JF yupo X tu.
Kwa niaba yake pia anatafuta mke same like your post hapo juu.
Tofauti ni huyo mwanamke awe mrefu, asiye na papala.
Aliye tayari ingia DM nikukutanishe naye.
Si kila mtu anaweza kuanzisha uzi, pokea ujumbe ingia dm upate mume mkwe wangu π!.Anzisha uzi wako mkuu