peter odada
Member
- Dec 30, 2016
- 35
- 36
Mshahara utamlipa shingapi kwa mwezi??Naitwa Peter Odada,miaka 31
Kabila Jaluo,Urefu cm 182,rangi maji ya kunde,elimu diploma ya biashara(CBE Dodoma)
Kazi biashara...makazi kilimanjaro.
SIFA ZA MKE
Awe na elimu kidato cha4 nakuendelea,rangi maji ya kunde,mwembamba,
Nyasae konyi iyudi dhako maberNaitwa Peter Odada,miaka 31
Kabila Jaluo,Urefu cm 182,rangi maji ya kunde,elimu diploma ya biashara(CBE Dodoma)
Kazi biashara...makazi kilimanjaro.
SIFA ZA MKE
Awe na elimu kidato cha4 nakuendelea,rangi maji ya kunde,mwembamba,
Naitwa Peter Odada,miaka 31
Kabila Jaluo,Urefu cm 182,rangi maji ya kunde,elimu diploma ya biashara(CBE Dodoma)
Kazi biashara...makazi kilimanjaro.
SIFA ZA MKE
Awe na elimu kidato cha4 nakuendelea,rangi maji ya kunde,mwembamba,
Mshahara wa kwanza usisahau kuuleta madhabahuni kama sadaka...ngoja nije pm mke umepata
kwan mm naenda kufanya kazi au kuwa mke Babu umeanzaMshahara wa kwanza usisahau kuuleta madhabahuni kama sadaka...
Kwa namna alivyojieleza huyu jamaa hana nia ya kuoa bali kuajiri mke...kwan mm naenda kufanya kazi au kuwa mke Babu umeanza
basi ngoja nikafanye kazi nilete sadakaKwa namna alivyojieleza huyu jamaa hana nia ya kuoa bali kuajiri mke...
sakayo eb ukuje uku kumbe umekubali kwenda kwa Babu without kabisa [emoji23] ukienda uniletee mrejeshoSafi kabisa mwanakondoo... hakikisha unaleta zaka madhabahuni. Afu breaking news ni hii: Sakayo amekubali kujongea altareni kwangu without. Niko kwenye mfungo kwa ajili ya kumtoa mapepo.