W Watu pori Senior Member Joined Jan 15, 2017 Posts 100 Reaction score 39 Jun 5, 2017 #1 Mimi nikijana wa miaka 25 nimuajiriwa natafuta mchumba ambaye ana kazi ili tuweze kusaidiana katika Maisha sichagui kabila wala dini awe na umri kuanzia miaka 20 mpaka 24 kama utakua upon tayari ni pm ili tuweze juana zaidi
Mimi nikijana wa miaka 25 nimuajiriwa natafuta mchumba ambaye ana kazi ili tuweze kusaidiana katika Maisha sichagui kabila wala dini awe na umri kuanzia miaka 20 mpaka 24 kama utakua upon tayari ni pm ili tuweze juana zaidi
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 154,929 Reaction score 459,607 Jun 5, 2017 #2 utapata kaka na huna masharti mengiii