Natafuta mke

Watu pori

Senior Member
Joined
Jan 15, 2017
Posts
100
Reaction score
39
Mimi nikijana wa miaka 25 nimuajiriwa natafuta mchumba ambaye ana kazi ili tuweze kusaidiana katika Maisha sichagui kabila wala dini awe na umri kuanzia miaka 20 mpaka 24 kama utakua upon tayari ni pm ili tuweze juana zaidi
 
utapata kaka na huna masharti mengiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…