ikiumasema
JF-Expert Member
- Oct 9, 2015
- 923
- 1,299
MpungaNINI NI MUHENGA UTANIKUBALI?
Usimkatishe tamaa wa mtaan ndo walio huku utofaut nikwamba hatufahamian kwa majina harisX uende kijijini kwenu mkuu au mtaani kwenu hata kanisani kama kristian hapa unamtafuta mtu usiyemjua au ndio na ww ulianzisha mada kama uliona watu wameona humu walifahamiana before acheni mambo ya kijinga na ushamba au nenda fb au ist huko maana utamuona live humu ukitaka kuonana na mtu anakuitia shangazi yake alafu yy anakuchora aje ajibu humu xku inayofuata