Natafuta mke

ikiumasema

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2015
Posts
923
Reaction score
1,299
Im 27,ninahitaji mwanamke aliye tayari kuolewa,,awe tayari kunipenda,,sifa zangu,urefu mrefu wastani,maji ya kunde,kipato cha kawaida tu and nafanya kazi serikalini,,,,,natafuta mke aliye tayari awe na sifa zifuatazo,,,mweupe au maji ya kunde not black,,,umri asizid 25,,,elimu atleast form four,,awe model in short asiwe mnene na awe atleast mrefu wa wastani not short sana,,,aliye tayar tuonane PM tutachat zaid huko...please take it serious!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
X uende kijijini kwenu mkuu au mtaani kwenu hata kanisani kama kristian hapa unamtafuta mtu usiyemjua au ndio na ww ulianzisha mada kama uliona watu wameona humu walifahamiana before acheni mambo ya kijinga na ushamba au nenda fb au ist huko maana utamuona live humu ukitaka kuonana na mtu anakuitia shangazi yake alafu yy anakuchora aje ajibu humu xku inayofuata
 
Usimkatishe tamaa wa mtaan ndo walio huku utofaut nikwamba hatufahamian kwa majina haris

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…