Wake wa mitandaoni hawanaga garantii..ongea na wazazi wako wakushauri
MWANAMKE ANATENGENEZWA HUWA HANA VIGEZO
Mkuu, kama unahitaji singo maza, ningekutunuku binti yangu
Usione uvivu kuongezea nyama kipengele cha mke no. 4
Andika hivi:
Bikra zote mbili :
Mkuu usipende kuandika nusunusu shaurilo [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Haya mkuu wish you all the best in your struggling.
Kama umetusua madesa mpaka masters basi Haka jambo kadogo hakakushindi
wanawake wote wameishia kusoma namba 4 mkuu ungejua ukaiweka mwisho
Kupata mwanamke bikira sina uhakika kwakuwa utakuta msichana anasoma std 3 tayari ana mpenzi
Nipo hapa
Jirani kwetu yupo yeye rangi yake ni maji ya shili inaelekea kuwa maji ya nduru kazi kwako!
Aisee, kila la kheri
Kipimo kutomika sana ni kipi?