Bedui la bongo
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 297
- 306
Assalam alaykum wana JF naitw
a Nasry natokea Morogoro natafuta mchumba ambaye kwa uwezo wa mungu atakuja kuwa MKE In Sha Allah sifa nazozihitaji
1)awe muislamu
2)anaejistir kwa mavazi kuanzia kuchwani mpka miguuni
3) awe kasoma dini angalau hata kwa uchache
4) awe anasali sala tano kama hasali ntamfundisha
5)awe mrefu rangi sichagui kabila pia sichagui hata akiwa albino in sha Allah yote mipango ya Allah
Sifa Zangu. .
1) mm ni Fundi allminium
2)na nmejiajiri nina saloon za kiume mbili nmepanga riziki mungu anasaidia kwa mawasiliano PM najibu maswali zaidi
Wabillah Tawfik
Sent using Jamii Forums mobile app
a Nasry natokea Morogoro natafuta mchumba ambaye kwa uwezo wa mungu atakuja kuwa MKE In Sha Allah sifa nazozihitaji
1)awe muislamu
2)anaejistir kwa mavazi kuanzia kuchwani mpka miguuni
3) awe kasoma dini angalau hata kwa uchache
4) awe anasali sala tano kama hasali ntamfundisha
5)awe mrefu rangi sichagui kabila pia sichagui hata akiwa albino in sha Allah yote mipango ya Allah
Sifa Zangu. .
1) mm ni Fundi allminium
2)na nmejiajiri nina saloon za kiume mbili nmepanga riziki mungu anasaidia kwa mawasiliano PM najibu maswali zaidi
Wabillah Tawfik
Sent using Jamii Forums mobile app