Umri: awe kuanzia miaka 25 na kuendelea, na asiwe na mtoto, asiwe mnene sana, rangi yoyote.
Dini: awe muislamu kwakua mimi pia ni muislamu
Elimu: kuanzia kidato cha nne hadi chuo kikuu, Sio lazima awe na Kazi Na akiwa ni mwajiriwa awe anafanya kazi mikoa ya Tanga,Kilimanjaro au Arusha
Mimi nina miaka 30,Elimu-chuo kikuu, na Ni Mwajiriwa serikalini.
Mwanamke aliyetayari aje PM.
Dini: awe muislamu kwakua mimi pia ni muislamu
Elimu: kuanzia kidato cha nne hadi chuo kikuu, Sio lazima awe na Kazi Na akiwa ni mwajiriwa awe anafanya kazi mikoa ya Tanga,Kilimanjaro au Arusha
Mimi nina miaka 30,Elimu-chuo kikuu, na Ni Mwajiriwa serikalini.
Mwanamke aliyetayari aje PM.