Natafuta mke

Natafuta mke

Joel360

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2013
Posts
986
Reaction score
657
Jamani nyie wenyewe mnajua maisha ya usingo yanavyochosha na umri nao unavosogea so mie nimeona sasa nitafute mke.

Kwanza kabisa mie umri ni VERY LATE TWENTY

Elimu yangu ni diploma ya sheria.

Nimeajiriwa katika ki aasisi fulani (sio mfanyabiashara).

Dini yangu Mkristu.

Sivuti sigara wala bangi, sinywi POMBE

Aiseee mi mweusi (unaetaka white man shakukosa najua).

Vigezo nnavotaka

Mwanamke asiwe mfupi sanaaaa

Kama una mtoto basi awe anakaa kwa baba ake au bibi ake.

Sichagui dini.

Elimu yoyote ile ila angalau darasa la saba itapendeza.

Awe ana jishughulisha sio goli kipa.

Kama una vigezo njoo pm tuzungumze.
 
Jamani nyie wenyewe mnajua maisha ya usingo yanavyochosha na umri nao unavosogea so mie nimeona sasa nitafute mke.

Kwanza kabisa mie umri ni VERY LATE TWENTY

Elimu yangu ni diploma ya sheria.

Nimeajiriwa katika ki aasisi fulani (sio mfanyabiashara).

Dini yangu Mkristu.

Sivuti sigara wala bangi, sinywi POMBE

Aiseee mi mweusi (unaetaka white man shakukosa najua).

Vigezo nnavotaka

Mwanamke asiwe mfupi sanaaaa

Kama una mtoto basi awe anakaa kwa baba ake au bibi ake.

Sichagui dini.

Elimu yoyote ile ila angalau darasa la saba itapendeza.

Awe ana jishughulisha sio goli kipa.
Ngoja waje
 
Jamani nyie wenyewe mnajua maisha ya usingo yanavyochosha na umri nao unavosogea so mie nimeona sasa nitafute mke.

Kwanza kabisa mie umri ni VERY LATE TWENTY

Elimu yangu ni diploma ya sheria.

Nimeajiriwa katika ki aasisi fulani (sio mfanyabiashara).

Dini yangu Mkristu.

Sivuti sigara wala bangi, sinywi POMBE

Aiseee mi mweusi (unaetaka white man shakukosa najua).

Vigezo nnavotaka

Mwanamke asiwe mfupi sanaaaa

Kama una mtoto basi awe anakaa kwa baba ake au bibi ake.

Sichagui dini.

Elimu yoyote ile ila angalau darasa la saba itapendeza.

Awe ana jishughulisha sio goli kipa.
Kutokana na Maelezo yako, wewe ni mchoyo, unaanza na Mtoto baadaye ndugu wa mke wakitaka kuniona niwafuate hasa mama maana ndiye anayeishi na mwanangu, mawazo yangu tu, ke wenzake mume huyo vigezo na masharti yake kuzingatiwa
 
Kutokana na Maelezo yako, wewe ni mchoyo, unaanza na Mtoto baadaye ndugu wa mke wakitaka kuniona niwafuate hasa mama maana ndiye anayeishi na mwanangu, mawazo yangu tu, ke wenzake mume huyo vigezo na masharti yake kuzingatiwa
Kulea mtoto wa kambo ni kazi sana.

Kuwa uyaone.
 
Hii ya mtoto awe kwa bb mwenyewe imenishtua
Kutokana na Maelezo yako, wewe ni mchoyo, unaanza na Mtoto baadaye ndugu wa mke wakitaka kuniona niwafuate hasa mama maana ndiye anayeishi na mwanangu, mawazo yangu tu, ke wenzake mume huyo vigezo na masharti yake kuzingatiwa
 
Kulea mtoto wa kambo ni kazi sana. Malalamiko, lawama na figisu zitanitoa ngeu aisee

Hata ufanye jambo gani utaonekana mbaya
Halafu kwa taarifa yako familia zenye kujielewa Mtoto huwa anabaki nyumbani bila hata ya wewe kusema labda umtake, Sasa ukitoa sharti hilo hawakupi mke kabisa hata kama mmependana na ke akilazimisha anasusiwa mwanae aondoke naye
 
Halafu kwa taarifa yako familia zenye kujielewa Mtoto huwa anabaki nyumbani bila hata ya wewe kusema labda umtake, Sasa ukitoa sharti hilo hawakupi mke kabisa hata kama mmependana na ke akilazimisha anasusiwa mwanae aondoke naye

Unalosema lina ukweli ila ni kwa asilimia chache familia nyingi huwa zinakuskilizia kama uko tayari kulea au la, wakiona uko tayari wanakutwisha
 
Badilisha style ya kuapproach.yawezekana ni tatizo

Sisi wanawake huwa makini sana ktk hilo eneo.ko ukiwa na approach mbaya hata kma sina mtu ntakwambia tu ninae

Pole sana and all the best
 
Badilisha style ya kuapproach..yawezekana ni tatizo

Sisi wanawake huwa makini sana ktk hilo eneo.ko ukiwa na approach mbaya hata kma sina mtu ntakwambia tu ninae..

Pole sana and all the best
Style ipi ya kuapproach unayoizungumzia?
 
Halafu kwa taarifa yako familia zenye kujielewa Mtoto huwa anabaki nyumbani bila hata ya wewe kusema labda umtake, Sasa ukitoa sharti hilo hawakupi mke kabisa hata kama mmependana na ke akilazimisha anasusiwa mwanae aondoke naye
Ni sawa.
Lakini ukimkuta mwanamke wa kinyakyusa amezalishwa na ukamuoa jua unaoa mke wa mtu lazima mbeleni uje ujute. Anaweza akaishi nawe na mkazaa watoto lakn siku moja akarudi kwa yule wa kwanza.
Mnaooa masingle mother kuweni makini na wanyakyusa vinginevyo yule wa kwanza awe masikini.
 
Ni sawa.
Lakini ukimkuta mwanamke wa kinyakyusa amezalishwa na ukamuoa jua unaoa mke wa mtu lazima mbeleni uje ujute. Anaweza akaishi nawe na mkazaa watoto lakn siku moja akarudi kwa yule wa kwanza.
Mnaooa masingle mother kuweni makini na wanyakyusa vinginevyo yule wa kwanza awe masikini.
Kweli nimeishudia hiyo sehemu
 
Back
Top Bottom