Hello jf member, naitwa Adamson,natafuta mke wa kuoa tunaanzia urafiki mpk kuoana,umri wangu Ni miaka,32,Mkristu,
Mke anaye takiwa awe na umri miaka 26-30 mwenye hofu ya Mungu.Awe anaishi morogoro,dar,iringa,,aswe mrevi,asiwe mnene Sana,asiwe mrefu Sana,elimu na degree na kuendelea,asiwe na mtoto maana Mimi mwenyewe sina kwasasa.wasiliana nami kwa 0620197245 au pm tuyajenge.