mcrounmj
JF-Expert Member
- Feb 26, 2016
- 380
- 889
Matumaini yangu kuwa mu_buheri wa afya, hata kwa wale ambao kwao siku imekuwa nzito muumba atawajaza wepesi.
Bila kupoteza muda nilejelee maada husika. Natafuta mwanamke wa kuoa mwenye umri kuanzia 26 hadi 31, awe committed na ndoa mwenye hofu ya mungu, dini yoyote, kabila lolote na elimu angalau kuanzia kidato cha NNE na kuendelea, asiwe amewahi kuolewa au kuzaa kwani hata mimi sina motto wala sijawahi kuoa.
Umbo la mwili sio kigezo sana ili mradi tu kasura ka kuvutia.
Kuhusu Mimi, nina umri wa early 30's, nimejiajiri, niko financially at least stable japo mapambano bado yanaendelea, elimu yangu ni ya chuo.
Kwa mwanamke yeyote mwenye kuwa na sifa tajwa plz njoo pm.
Nawasilisha
Bila kupoteza muda nilejelee maada husika. Natafuta mwanamke wa kuoa mwenye umri kuanzia 26 hadi 31, awe committed na ndoa mwenye hofu ya mungu, dini yoyote, kabila lolote na elimu angalau kuanzia kidato cha NNE na kuendelea, asiwe amewahi kuolewa au kuzaa kwani hata mimi sina motto wala sijawahi kuoa.
Umbo la mwili sio kigezo sana ili mradi tu kasura ka kuvutia.
Kuhusu Mimi, nina umri wa early 30's, nimejiajiri, niko financially at least stable japo mapambano bado yanaendelea, elimu yangu ni ya chuo.
Kwa mwanamke yeyote mwenye kuwa na sifa tajwa plz njoo pm.
Nawasilisha