We muwahi tu mwaya ,wengine dini imetutoa kwenye kinyang'anyiro 😒Hapa ndio ninapopata nusra
Ngoja niwahi kabla foleni haijakua
Ubwabwa tutaula tu hata kama kuna coronaHapa ndio ninapopata nusra
Ngoja niwahi kabla foleni haijakua
[emoji38] kama kweli vileWe muwahi tu mwaya ,wengine dini imetutoa kwenye kinyang'anyiro [emoji19]
Hahahaha ww na hio tag yako unatisha
😀😀, hapo mleta uzi anachekelea soon anapata jiko kumbe...[emoji38] kama kweli vile
Jiko toka licomment limepotelea hewani[emoji38][emoji3][emoji3], hapo mleta uzi anachekelea soon anapata jiko kumbe...
😀😀jiko limeyeyuka ghafla dahJiko toka licomment limepotelea hewani[emoji38]
Jiko shenzi sana[emoji38][emoji3][emoji3]jiko limeyeyuka ghafla dah
Ww ndo boss lady in town au mahaba ya mwandishi