Habari wanazengo...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 33
Najishungulisha na biashara kwa sehemu kubwa ya maisha yangu,
Natafuta mke, umri kuanzia 25 na kuendelea...
Kabila siyo kikwazo kwangu
MUHIMU; Naamini katika uwepo wa MUNGU, ila siamini katika dini yeyote ile si uisilam, ukristo, uyahudi, budha, krishna n.k Dini kwangu ni utaratibu wa kuishi kwa upendo na amani kwa jamii husika.
Karibu inbox tuyajenge
Hotep
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 33
Najishungulisha na biashara kwa sehemu kubwa ya maisha yangu,
Natafuta mke, umri kuanzia 25 na kuendelea...
Kabila siyo kikwazo kwangu
MUHIMU; Naamini katika uwepo wa MUNGU, ila siamini katika dini yeyote ile si uisilam, ukristo, uyahudi, budha, krishna n.k Dini kwangu ni utaratibu wa kuishi kwa upendo na amani kwa jamii husika.
Karibu inbox tuyajenge
Hotep