Sifa zangu
Natoboa 30 muda sio mrefu
Nina kazi halali
Nina Ft 6
Elimu ya wastani kiasi lakini kwa mtaani kwetu ni mmoja ya watu wasomi
Sifa ya mwanamke anayehitajika
Mrefu kiasi lkn asifike ft 6
Chura kiasi
Elimu kiasi Frm 4-6
Sura iwemo kidogo (sio tukitaka kutoka namwambia tangulia nitakukuta)
Awe serious
Asiwe mchoyo
Mkristu
Sifa nyingine zinaendelea kwenye comments
Kila la heri katika safari yako. Hakuna namna. Mimi namsubiri financial services amalize kwanza masomo yake ya Shahada ya Uzamivu (PhD) akibobea katika masuala ya Usimamizi wa Fedha, kwenye moja Chuo Kikuu maarufu Nchini.
Kila la heri katika safari yako. Hakuna namna. Mimi namsubiri financial services amalize kwanza masomo yake ya Shahada ya Uzamivu (PhD) akibobea katika masuala ya Usimamizi wa Fedha, kwenye moja Chuo Kikuu maarufu Nchini.