Natafuta mke

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Sifa zangu
Natoboa 30 muda sio mrefu
Nina kazi halali
Nina Ft 6
Elimu ya wastani kiasi lakini kwa mtaani kwetu ni mmoja ya watu wasomi

Sifa ya mwanamke anayehitajika
Mrefu kiasi lkn asifike ft 6
Chura kiasi
Elimu kiasi Frm 4-6
Sura iwemo kidogo (sio tukitaka kutoka namwambia tangulia nitakukuta)
Awe serious
Asiwe mchoyo
Mkristu
Sifa nyingine zinaendelea kwenye comments
 
Kila la heri katika safari yako. Hakuna namna. Mimi namsubiri financial services amalize kwanza masomo yake ya Shahada ya Uzamivu (PhD) akibobea katika masuala ya Usimamizi wa Fedha, kwenye moja Chuo Kikuu maarufu Nchini.
 
Kila la heri katika safari yako. Hakuna namna. Mimi namsubiri financial services amalize kwanza masomo yake ya Shahada ya Uzamivu (PhD) akibobea katika masuala ya Usimamizi wa Fedha, kwenye moja Chuo Kikuu maarufu Nchini.
Ooh yes future hubby, acha nipambane na kitabu kwanza,😀, ila si ntakua nishazeeka Tate PHD ndiyo uniwowe🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…