Harry Mapande
Senior Member
- May 18, 2020
- 109
- 363
Sifa zangu-nina mtoto 1,mrefu sana nakaribia ft 6,mweusi,mfanyabiashara mdogo,miaka yangu 40, mkristo,elimu chuo.
Sifa za mke
Awe mkristo,rangi ya asili,miaka 30-40,elimu kuanzia kidato cha 4,hata kama una mtoto sawa.
Karibu PM.
Sifa za mke
Awe mkristo,rangi ya asili,miaka 30-40,elimu kuanzia kidato cha 4,hata kama una mtoto sawa.
Karibu PM.