Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nenda PM unaweza kuwa shortlistedSifa za umtakaye ni hizo tu mkuu? Ama zitaongezeka kadri tutakavyokuja pm?
Ataki chura?Sifa za umtakaye ni hizo tu mkuu? Ama zitaongezeka kadri tutakavyokuja pm?
Bibi umefata nini hapa?Sifa za umtakaye ni hizo tu mkuu? Ama zitaongezeka kadri tutakavyokuja pm?
Ndiyo namsubiri aseme sifa za ziada😀Ataki chura?
financial servicesSifa za umtakaye ni hizo tu mkuu? Ama zitaongezeka kadri tutakavyokuja pm?
Yes Ely !Good morning!
Sijambo ndugu vipi kwemaYes Ely !Good morning!
Kwema kabisa! Habari ya Rock city😉Sijambo ndugu vipi kwema
Ni hizo tu.Sifa za umtakaye ni hizo tu mkuu? Ama zitaongezeka kadri tutakavyokuja pm?
Yoyote awe au asiwe ni sawaMkuu hutaki bikira kabisa
Ok kama ni hizo tu basi wacha nijaribu bahati yangu😉Ni hizo tu.
Nenda huko huko ukajionee.Sifa za umtakaye ni hizo tu mkuu? Ama zitaongezeka kadri tutakavyokuja pm?
Muulize sasa ngojangoja utakuta mwana si wako[emoji16]Ndiyo namsubiri aseme sifa za ziada[emoji3]
Mbona unanitisha mkuu! Sijachelewa bana ,wangu huyu😀Muulize sasa ngojangoja utakuta mwana si wako[emoji16]
Niliona niulize mapema ili nisijisumbue kwenda kumbe hataki wenye flat screen🤔