makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Fumba macho omba dua tu, unaweza kupita kizali zali..Niliona niulize mapema ili nisijisumbue kwenda kumbe hataki wenye flat screen[emoji848]
Sawa wacha nipige moyo konde! Huenda nikaokota dodo kwenye mwarobaini 😀Fumba macho omba dua tu, unaweza kupita kizali zali..
Iwe zali la mentali ama zarina Hassan kikubwa umepenya tu.
[emoji1][emoji2]
Sent from my COR-AL10 using JamiiForums mobile app
Moyo wako usiupige konde zito kama LA konde boy, isije ukakosa dodo ukaangukia kwa macmuga kwenye muhogomchungu.Sawa wacha nipige moyo konde! Huenda nikaokota dodo kwenye mwarobaini [emoji3]
NashukuruKila la kheri
Lazima ziongezeke mkuu maana watu watakuwa wengine so vigezo vingine lazima vitumikeSifa za umtakaye ni hizo tu mkuu? Ama zitaongezeka kadri tutakavyokuja pm?
Nitumie no yako ya WhatsappNina miaka 32,
Nimeajiliwa na serikali,
Sifa za mwenza.
Awe mkristo.
Awe na nia thabiti ya kuolewa.
Awe na umri wa miaka 24-29.
Awe anatokea mkoa jirani na ruvuma
HiNina miaka 32,
Nimeajiliwa na serikali,
Sifa za mwenza.
Awe mkristo.
Awe na nia thabiti ya kuolewa.
Awe na umri wa miaka 24-29.
Kuwa na mtoto sio tatizo.
Awe anatokea mkoa jirani na ruvuma
Nitumie no yako ya WhatsappNina miaka 32,
Nimeajiliwa na serikali,
Sifa za mwenza.
Awe mkristo.
Awe na nia thabiti ya kuolewa.
Awe na umri wa miaka 24-29.
Kuwa na mtoto sio tatizo.
Awe anatokea mkoa jirani na ruvuma
SijapataNatumae mleta mada ulifanikiwa...
Mpaka leo sijafanikiwa