Natafuta Mke

Natafuta Mke

BLS

Member
Joined
Apr 19, 2021
Posts
83
Reaction score
152
SIFA ZANGU
Umri 36
Dini: Mkristo
Elimu: Shahada ya Uzamili.
Ajira: Mwajiliwa wa serikali.
Urefu : 172cm

SIFA ZA MWANAMKE
Umri 30-36
Dini: Yoyote
Kabila: Lolote.
Elimu: Diploma na kuendelea.
Kazi: Yoyote halali.

NB: Mimi sina mtoto lakini yeye hata akiwa naye sawa tu.
 
Yupo mkali sana ana watoto 4, 3 wa baba mmoja, 1 wa baba mwingine lkn wote haishi nao. If interested niku-pm namba yake.
 
SIFA ZANGU
Umri 36
Dini:.Mkristo
Elimu:Shahada ya uzamili.
Ajira:Mwajiliwa wa serikali.
Urefu :172cm

SIFA ZA MWANAMKE
Umri zaidi ya 30.
Dini:Yoyote
Kabila[emoji38]ote.
Elimu: Diploma na kuendelea.
Kazi:Yoyote halali.

NB:Mimi sina mtoto lakini yeye hata akiwa naye sawa tu.
 
Aise we jamaa utaenda mbinguni[emoji23][emoji23]
 
Na mm natafta mke jaman
27 yrs
Elimu ya kuunga unga hata high school cjafika
Din. Christian

Wewe dada uwe na hiz sifa Tu mengine
Baadae

20-25 yrs
Uwe Christian


NB: pesa za matanuzi sina
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
SIFA ZANGU
Umri 36
Dini: Mkristo
Elimu: Shahada ya Uzamili.
Ajira: Mwajiliwa wa serikali.
Urefu : 172cm

SIFA ZA MWANAMKE
Umri 30-36
Dini: Yoyote
Kabila: Lolote.
Elimu: Diploma na kuendelea.
Kazi: Yoyote halali.

NB: Mimi sina mtoto lakini yeye hata akiwa naye sawa tu.
Umepata?
 
Back
Top Bottom