Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 5,150
- 20,025
Tena si pesa tu bali kupoteza muda pia sababu Watu waliopo mitandaoni ndiyo hao hao anaokutana nao mitaani.Huwezi kupata mitandaoni..huku ni pesa yako tu
Duh!Huwezi kupata mitandaoni..huku ni pesa yako tu
Mbona kuna waliopata wenzi wao humu na walishafunga ndoa?!Tena si pesa tu bali kupoteza muda pia sababu Watu waliopo mitandaoni ndiyo hao hao anaokutana nao mitaani.
Kibaya zaidi Watu wa humu wanaweza kufeki tabia ili kuchangamkia fursa kuliko Watu ambao angeweza kuonana nao ana kwa ana kila siku, wiki, mwezi, mwaka na hata miaka.
@to yeye huku unahitajikaSifa zangu:
1. Maasai
2. Graduate
3. Mkulima mdogo/ Peasant
4. Mkoa wa Tanga
5. Mkristo. Mcha Mungu
6. Miaka 27.
7. Mweusi; urefu futi 5.6; mpole ila sipendi uchokozi
8. Situmii vilevi.
Sifa za mwanamke ninayemuhitaji:
1. Kabila lolote
2. Form 4 na kuendelea
3. Mkoa wowote/ nchi yeyote isipokuwa kenya
4. Dini yeyote ila asiwe mshirikina
5. Miaka 25-31
6. Rangi yeyote ila awe mnene
7. Asiwe mlevi.
8. Asiwe na tamaa ya kumiliki vitu vya bei ghali, mimi ni mkulima
Karibu PM kwa maelewano zaidi
Mimi hapa mkuu,mi nimeolewa mkuu
Afu ilikuwa bado kidogo tu maana mi nina 19Mimi hapa mkuu,mi nimeolewa mkuu
Kama hujaolewa njoo tuyajengeMimi hapa mkuu,mi nimeolewa mkuu
InterestingMkuu, nina dada yangu ana miaka 22, anavuta bange, anakunywa gongo, anauza mkaa wa kupima, anasaga gomba na anawatoto wanne kila mtoto na baba yake.
Dadaangu tunamgawa bure, nicheki PM