Mmh una sura nzurii bana, shape ndiyo hatari na nusu๐Umri na sura umenikosesha mume๐
Sina vigezo kabisaMtafute mrembo mmoja anaenda kwa jina la financial services
DuuhSina vigezo kabisa
Vipi mkuu?Duuh
Ah wee hiyo sura tuu kidume lazima atoe ng'ombe 50. Uukisema una cpa sii ndio zinaonzwa zingine 25Sina vigezo kabisa
We kila siku huna vigezo, hebu njoo kwangu mie sina vigezo vingi, ili mradi uwe unapumua tu, hata kama ni kwa mashine ya oksijeniSina vigezo kabisa
Njoo pm maana na Mimi natafuta mke na kigezo siyo Sura...Umri na sura umenikosesha mume๐
Wanashangaza unavyodai huna vigezo.Vipi mkuu?
๐๐๐ mkuu wewe๐ napumulia mashine hapa ujueWe kila siku huna vigezo, hebu njoo kwangu mie sina vigezo vingi, ili mradi uwe unapumua tu, hata kama ni kwa mashine ya oksijeni
[emoji23][emoji23]
Sure vigezo alivohitaji mimi sina, poor me๐คWanashangaza unavyodai huna vigezo.
Hivyo hivyo na mashine yako, sina tabu. Mie nakukubali tu[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu wewe[emoji119] napumulia mashine hapa ujue
๐๐ haya banaHivyo hivyo na mashine yako, sina tabu. Mie nakukubali tu
[emoji23][emoji23]
Halafu unatuchora tuu hapa JF, juzi nimekucheki maeneo uko na msela, full malove.Sure vigezo alivohitaji mimi sina, poor me[emoji848]
Jamani ungejua nipo kwenye majonzi(msibani) hata maeneo niende saa ngapi๐Halafu unatuchora tuu hapa JF, juzi nimekucheki maeneo uko na msela, full malove.