Natafuta mke

[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] Filamu la kutisha
 
Afu mbona unataka kunifanya nami niungane nae kutafuta mke humu ndan hiyo Avator inanisumbua akili ilo batasam[emoji22]
Ni avatar tu mkuu haina uhalisia kabisa na mmiliki avatar!![emoji6]
 
Kwahiyo kwa kufuata hizo njia zako mkuu ndio ndoa inadumu?inaonekana mkuu umekariri njia za kupata mke.Kama anajitokeza unafiriki utamkubali tu bila ya kumuona na kumchunguza,ni same procedure na ile njia ya kawaida, unakutana na mdada sehemu unamuaproach akikukubali kinachofuata ni kuchunguzana kabla ya kufanya maamuzi ya kuweka ndani,hapa ni meeting point tu,na uzuri wa hapa wanaweza kujitokeza hata 50 ukafanya selection taratibu mpaka ukampata muhusika,tofauti na kule mitaani ambako itakugharimu muda,energy na hata pesa......
 
We jamaa Mchumi kweli[emoji849]
 
Mimi ni mfupi,mnene halafu dread zangu basi tena ndefuu .
Na kashepu kangu weee najivunia kama unachagua mbona umekosa huko sema tu.
Uwiii ongea huna lolotee
 
Toa sifa zako!
Hutaki kibonge afu una kutambi kama mimba
Unataka mweupe wakati wewe mweusi
Umesoma???

Mke atafutwi mtandaoni acha upumbavu
Sifa zangu mie atakuja zipata atakae kua tayari na ndo maana sikusema atakaekua teyar ainishe sifa zake watu wazione hapana imekua like a confidential..Okay??
 
Ndo unavyosema kwahiyo sikuiz umekua mtabili wa mambo????
 
Utapata ila weupe siyo sifa miaka hii, weupe unanunuliwa madukani.

Ila cha singo maza naona kwako siyo kipengele mjukuu wangu.
Mie ndo mapendeleo yangu nataka tukiwa ndani basi nisiwe na haja ya kiooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…