Naitwa Samweli
Naishi Moshi
Kabila Mchaga
Umri 35
Nina mtoto mmoja wa kiume umri miaka 7 namlea mwenyewe kwasababu mama yake alishafariki kwa ajali. Nahitaji mwanamke atakayekua mke wangu, atakayenipenda mimi na mwanangu pia.
Awe na umri 22-33, mwenye hofu ya Mungu, na aliyetayari tujenge mahusiano na familia. Kama yupo mwanamke aliyetayari, mwenye uhitaji anicheki DM.
Karibu sana.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120].
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Naishi Moshi
Kabila Mchaga
Umri 35
Nina mtoto mmoja wa kiume umri miaka 7 namlea mwenyewe kwasababu mama yake alishafariki kwa ajali. Nahitaji mwanamke atakayekua mke wangu, atakayenipenda mimi na mwanangu pia.
Awe na umri 22-33, mwenye hofu ya Mungu, na aliyetayari tujenge mahusiano na familia. Kama yupo mwanamke aliyetayari, mwenye uhitaji anicheki DM.
Karibu sana.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120].
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app