We kweli zoba unatuandikia wanaume uzi km huu? Unatuonaje? Katafute jukwaa la wanawake tu.Naitwa Samweli
Naishi Moshi
Kabila Mchaga
Umri 35
Nina mtoto mmoja wa kiume umri miaka 7 namlea mwenyewe kwasababu mama yake alishafariki kwa ajali. Nahitaji mwanamke atakayekua mke wangu, atakayenipenda mimi na mwanangu pia.
Awe na umri 22-33, mwenye hofu ya Mungu, na aliyetayari tujenge mahusiano na familia. Kama yupo mwanamke aliyetayari, mwenye uhitaji anicheki DM.
Karibu sana.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120].
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mcheki dada mmoja hapa sophy27 huyu ana ngekewa ya kupendwa na watoto, naamini atakuwa the ryt woman for uNaitwa Samweli
Naishi Moshi
Kabila Mchaga
Umri 35
Nina mtoto mmoja wa kiume umri miaka 7 namlea mwenyewe kwasababu mama yake alishafariki kwa ajali. Nahitaji mwanamke atakayekua mke wangu, atakayenipenda mimi na mwanangu pia.
Awe na umri 22-33, mwenye hofu ya Mungu, na aliyetayari tujenge mahusiano na familia. Kama yupo mwanamke aliyetayari, mwenye uhitaji anicheki DM.
Karibu sana.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120].
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo hili ni jukwaa la wanaume tu?We kweli zoba unatuandikia wanaume uzi km huu? Unatuonaje? Katafute jukwaa la wanawake tu.
Mkuu!!!!We kweli zoba unatuandikia wanaume uzi km huu? Unatuonaje? Katafute jukwaa la wanawake tu.
ukipata wengi nitupie mmoja, nimechoka na nyetomwenye uhitaji anicheki DM
Aya ushindwe wewe sasa...ila nakuachia ujumbe huu uendee nao kwa bwana samweli.๐๐๐Bwana samweli your welcome
Jimbo likowaz kabisa Mzabzab kalishindwa kaona akuachie ๐๐๐ila Dah
Dah๐คฃ๐คฃ๐คฃmm mbona nimeshaacha hayo ya goals ni kugegedana tu ndo kilichobaki ๐คฃ๐คฃAya ushindwe wewe sasa...ila nakuachia ujumbe huu uendee nao kwa bwana samweli.
View attachment 2378786