Natafuta mke

Natafuta mke

fighter19

Member
Joined
Jan 6, 2023
Posts
40
Reaction score
52
Natafuta mchumba atakaye kuwa mke wangu.

1. Awe ana hofu ya Mungu.
2. Elimu atleast form 6 (hata ukiwa na PhD).
3. Awe na akili za maisha na shughuli ya kumuingizia kipato.
4. Awe na shape/figure.
5. Asiwe na mtoto.

Age (25-32)

Mimi nina miaka 33, nina kazi yangu nzuri tu ya kukutimizia mahitaji yako ya MSINGI kama mwanamke.

NB: Ukijua unatabia za slay queens kaa pembeni.
 
Natafuta mchumba atakaye kuwa mke wangu.

1.Awe ana hofu ya Mungu.
2.Elimu atleast form 6 (hata ukiwa na PhD).
3.Awe na akili za maisha na shughuli ya kumuingizia kipato.
4.Awe na shape/figure.
5.Asiwe na mtoto.

Age (25-32)

Mimi nina miaka 33 nina kazi yangu nzuri tu ya kukutimizia mahitaji yako ya MSINGI kama mwanamke.

NB:Ukijua unatabia za slay queens kaa pembeni.

Hi
 
Back
Top Bottom