naomba financial statement ya 2010 please afu nikwambie kitu.
ungejielezea na ww upoje ingekuwa vzr zaid yan.Jamann...
Mie mwenzenu umri unakaribia kunitupa...sasa nahitaji wife wa kuishi nae ..
Yeyote mwenye contacts za msichana mzuri, tall, midweight (60-70kgs), any natural colour, educated ani PM...
Cna tatizo kuhusu background yake, mana najua ni historia ntamkubali kama alivyo...
Location: Nipo DSM
Please uni-PM
all the best.
Za masiku?
Mambo muhimu hujataja, umri wako, makazi yako, asili yako, au unataka ndoa ya siku mbili tatu tu za mwaka mpya?
Uzuri ni mvuto wa asili na siyo wa dukani kivile..asiwe amejichubua uso..natural colour muhimu..
But most of all napenda awe na tabasamu zuri sana...
umeshampata mke tayari?