Natafuta mke/mchumba;
1. Awe na miaka 25-33.
2. Awe amesoma atleast form 4 na kuendelea (Degree,master, PhD).
3. Awe na akili ya maisha yani mtafutaji au mwenye kazi yake.
4. Awe na hofu ya Mungu.
5. Awe mzuri na mwenye shape.
6. Awe anakaa Dar.
7. Awe Mkristo wa dhehebu lolote.
Mimi;
1. Nina degree ya IT.
2. Ninakazi yangu ambayo inanifanya niwe na uwezo wa kuihudumia familia.
3. Nina miaka 33.
NB: Ningependa kweli nipate mwanamke anayeijua na kuielewa taasisi ya ndoa na familia na atakayeweza kuviishi viapo vya ndoa.
Wadangaji na waigizaji msije PM mtakachokutana nacho msije kunilaumu.
1. Awe na miaka 25-33.
2. Awe amesoma atleast form 4 na kuendelea (Degree,master, PhD).
3. Awe na akili ya maisha yani mtafutaji au mwenye kazi yake.
4. Awe na hofu ya Mungu.
5. Awe mzuri na mwenye shape.
6. Awe anakaa Dar.
7. Awe Mkristo wa dhehebu lolote.
Mimi;
1. Nina degree ya IT.
2. Ninakazi yangu ambayo inanifanya niwe na uwezo wa kuihudumia familia.
3. Nina miaka 33.
NB: Ningependa kweli nipate mwanamke anayeijua na kuielewa taasisi ya ndoa na familia na atakayeweza kuviishi viapo vya ndoa.
Wadangaji na waigizaji msije PM mtakachokutana nacho msije kunilaumu.