Natafuta mke

Natafuta mke

fighter19

Member
Joined
Jan 6, 2023
Posts
40
Reaction score
52
Natafuta mke/mchumba;
1. Awe na miaka 25-33.
2. Awe amesoma atleast form 4 na kuendelea (Degree,master, PhD).
3. Awe na akili ya maisha yani mtafutaji au mwenye kazi yake.
4. Awe na hofu ya Mungu.
5. Awe mzuri na mwenye shape.
6. Awe anakaa Dar.
7. Awe Mkristo wa dhehebu lolote.

Mimi;
1. Nina degree ya IT.
2. Ninakazi yangu ambayo inanifanya niwe na uwezo wa kuihudumia familia.
3. Nina miaka 33.

NB: Ningependa kweli nipate mwanamke anayeijua na kuielewa taasisi ya ndoa na familia na atakayeweza kuviishi viapo vya ndoa.

Wadangaji na waigizaji msije PM mtakachokutana nacho msije kunilaumu.
 
Natafuta mke/mchumba;
1. Awe na miaka 25-33.
2. Awe amesoma atleast form 4 na kuendelea (Degree,master, PhD).
3. Awe na akili ya maisha yani mtafutaji au mwenye kazi yake.
4. Awe na hofu ya Mungu.
5. Awe mzuri na mwenye shape.
6. Awe anakaa Dar.
7. Awe Mkristo wa dhehebu lolote.

Mimi;
1. Nina degree ya IT.
2. Ninakazi yangu ambayo inanifanya niwe na uwezo wa kuihudumia familia.
3. Nina miaka 33.

NB: Ningependa kweli nipate mwanamke anayeijua na kuielewa taasisi ya ndoa na familia na atakayeweza kuviishi viapo vya ndoa.

Wadangaji na waigizaji msije PM mtakachokutana nacho msije kunilaumu.
Hapo kwnye shape hapoo nimepoteza point kwnye dakika ya 3
 
Kwa kuzingatia kifungu no 5 hapo juu. Wewe unatazamika? Huna kitambi? Mrefu? Mweusi?
 
Anayetaka atakuja then kuna video call na tuta exchange picha.
Mmmh kwa kiburi hiki haya ngoja waje

Lakini wakati unasubiria mke karibu sana

iG @dollrubii_decors
SIsi ni wauzaji wa HomeDecors kwa bei nafuu zaidi kuliko wote karibu ujione.
KWA MAHITAJI YA
♦️PAZIA
♦️ MAUA NA MAPAMBO YA NDANI
♦️FURNITURE
♦️KITCHENWARE
TUNATUMA MIKOA YOTE🇹🇿
WHTAP|📞 0699306065
 
Wewe mbona hujaelezea wasifu wako vizuri. Jielezee na wewe ili tuufahamu.
 
Mmmh kwa kiburi hiki haya ngoja waje

Lakini wakati unasubiria mke karibu sana

iG @dollrubii_decors
SIsi ni wauzaji wa HomeDecors kwa bei nafuu zaidi kuliko wote karibu ujione.
KWA MAHITAJI YA
♦️PAZIA
♦️ MAUA NA MAPAMBO YA NDANI
♦️FURNITURE
♦️KITCHENWARE
TUNATUMA MIKOA YOTE🇹🇿
WHTAP|📞 0699306065
Naona umeamua kutangaza na mishe zako kabisa. Huyo mwamba anatafuta Ke mwenye sifa kama zako
🤣🤣🤣
 
@
Natafuta mke/mchumba;
1. Awe na miaka 25-33.
2. Awe amesoma atleast form 4 na kuendelea (Degree,master, PhD).
3. Awe na akili ya maisha yani mtafutaji au mwenye kazi yake.
4. Awe na hofu ya Mungu.
5. Awe mzuri na mwenye shape.
6. Awe anakaa Dar.
7. Awe Mkristo wa dhehebu lolote.

Mimi;
1. Nina degree ya IT.
2. Ninakazi yangu ambayo inanifanya niwe na uwezo wa kuihudumia familia.
3. Nina miaka 33.

NB: Ningependa kweli nipate mwanamke anayeijua na kuielewa taasisi ya ndoa na familia na atakayeweza kuviishi viapo vya ndoa.

Wadangaji na waigizaji msije PM mtakachokutana nacho msije kunilaumu.
fighter19 waliomo humu JF ndio wale wale wa mtaani kwako. Sema humu ni wajuaji halafu wanajifanya kama hawataki ndoa kumbe wanazitaka kuliko hata chakula 😂😂😂
 
Back
Top Bottom