Ticha anatafuta mke, kashoka kukapeke yake.Natafuta mke/mchumba;
1. Awe na miaka 30-40
2. Awe amesoma atleast form 4 na kuendelea.
3. Awe na akili ya maisha yani mtafutaji au mwenye kazi yake.
4. Awe na hofu ya Mungu.
5.Awe Mkristo
Mimi;
1. Nina Diploma ya Ualimu
2. Ninakazi yangu ambayo inanifanya niwe na uwezo wa kuihudumia familia.
3. Nina miaka 37
4.Nina mtoto 1
NB: Ningependa kweli nipate mwanamke anayeijua na kuielewa taasisi ya ndoa na familia na atakayeweza kuviishi viapo vya ndoa.
Kwa walio 'serious' tukutane PM.
ππShemeji kaburi lipo au halipo?
π€£π€£π€£π€Shemeji kaburi lipo au halipo?
Kamatia fursa hiyo na hivi unaoenda watoto huyo utamlea wewe vizuri. Usiniangusheππ
Olewa weweKila la kheri
Mpira hauanzag moja bila,πKamatia fursa hiyo na hivi unaoenda watoto huyo utamlea wewe vizuri. Usiniangushe
Mpira hauanzag moja bila,[emoji3]
πππ[emoji1787]