Jamani😂😂😂..Naona dini inanikosesha mume, ngoja nislimu kwanza
Ondoa hiyo barrier haraka umpe Mwamba ubavu huo 😂😂😂Jamani😂😂😂..Naona dini inanikosesha mume, ngoja nislimu kwanza
Kwakweli bado sijafikia huko😃😃😂Ondoa hiyo barrier haraka umpe Mwamba ubavu huo 😂😂😂
Bado PM yako haifunguki
Tulia sio kila mtu kachelewa sababu ya kukataa ndoa nilikuwa natengeneza maisha mimi na nitakaemuoa tuqeze kuishi kwa furaha lakini kutengeneza kipato sasa niko vizur naweza kuoa sasaKwa miaka 36 ulikua mfuasi mzuri wa KATAA NDOA lkn sasa naona umeamua kusanda, subiriasubiria kidogo angalau ifike 50
Haya kila la kheriTulia sio kila mtu kachelewa sababu ya kukataa ndoa nilikuwa natengeneza maisha mimi na nitakaemuoa tuqeze kuishi kwa furaha lakini kutengeneza kipato sasa niko vizur naweza kuoa sasa