Natafuta Mke

Tulia sio kila mtu kachelewa sababu ya kukataa ndoa nilikuwa natengeneza maisha mimi na nitakaemuoa tuqeze kuishi kwa furaha lakini kutengeneza kipato sasa niko vizur naweza kuoa sasa
Fact kutengeneza maisha nd
 
Tulia sio kila mtu kachelewa sababu ya kukataa ndoa nilikuwa natengeneza maisha mimi na nitakaemuoa tuqeze kuishi kwa furaha lakini kutengeneza kipato sasa niko vizur naweza kuoa sasa
Aisee ili kuoa inabidi mwanamke akukute poa. Naendelea kujifunza
 
Aisee ili kuoa inabidi mwanamke akukute poa. Naendelea kujifunza
Yah nikweli lakin sio lazma uwe poa kihivyo mwanaume ukishakua na uwezo wakuhudumia familia yako unatakiwa uoe.lakin pia wapo watu walikua poa sana kabla ya kuoa walipo oa maisha yakashuka na wapo walioa ndio wakatajirika.amin kua kila penye mafanikio ya mwanaume kuna mkono wa mwanamke
 
Wewe mwanafunzi wewe umevunja mbavu zangu. Haya basi inaitwa Suhoor.
Pole tutazifanyia surgery ticha madam Hannah 🤣🤣🤣

Uko vizuri aisee
the morning meal eaten by Muslims before the sun has come up during Ramadan
 
hujaoa muda ote huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…