Fact kutengeneza maisha ndTulia sio kila mtu kachelewa sababu ya kukataa ndoa nilikuwa natengeneza maisha mimi na nitakaemuoa tuqeze kuishi kwa furaha lakini kutengeneza kipato sasa niko vizur naweza kuoa sasa
Aisee ili kuoa inabidi mwanamke akukute poa. Naendelea kujifunzaTulia sio kila mtu kachelewa sababu ya kukataa ndoa nilikuwa natengeneza maisha mimi na nitakaemuoa tuqeze kuishi kwa furaha lakini kutengeneza kipato sasa niko vizur naweza kuoa sasa
Yah nikweli lakin sio lazma uwe poa kihivyo mwanaume ukishakua na uwezo wakuhudumia familia yako unatakiwa uoe.lakin pia wapo watu walikua poa sana kabla ya kuoa walipo oa maisha yakashuka na wapo walioa ndio wakatajirika.amin kua kila penye mafanikio ya mwanaume kuna mkono wa mwanamkeAisee ili kuoa inabidi mwanamke akukute poa. Naendelea kujifunza
NdioAmepotea?
Dah 🙄KUchoka ukapera
hujaoa muda ote huoHapa nakuja kwenu ndugu zangu najua hapa ni platform nzuri kuweza kupata mke serious hakika naimani hapa nitapata namna nahitaji mwenye mapenzi ya kweli
SIFA ZANGU
Miaka 36 now
Sina mtoto
Rangi nyeusi
Muislamu
Nina maisha pia nimeajiliwa
Sifa mwanamke ninaemtaka
Awe na mapenzi serious
Awe muislamu
Umri usizid miaka 35
Kazi sio muhimu ila akiwa nayo sawa tu
Inshalaah mwaka kesho Mungu atuweze tufunge ndoa kama upo tayar karibu tujenge familia bora
Sijapata badohujaoa muda ote huo
Kwani wa mtaani si ndio hawa hawa??Humu unatafta wezi tu mzee,hivi mtaani kwenu hakuna wanawake kabisaa??
UhakikaKwani wa mtaani si ndio hawa hawa??