Martin jose
New Member
- Feb 17, 2025
- 1
- 2
Mbona bado mdogo, subiri ufike 30, ndoa ngumu nakuonea huruma, labda kama unataka kumwaga utamu useme lakni kwa habari ya mke nakuonea huruma rafiki yangu, natamani ukomae kidogoNatafuta mke , Naitwa jose nina miaka 27 natafuta mke mweny miaka kuanzia 20-25
Kila la kheri MkuuNatafuta mke , Naitwa jose nina miaka 27 natafuta mke mweny miaka kuanzia 20-25
Huruma gani?Mbona bado mdogo, subiri ufike 30, ndoa ngumu nakuonea huruma, labda kama unataka kumwaga utamu useme lakni kwa habari ya mke nakuonea huruma rafiki yangu, natamani ukomae kidogo
Ndoa zinahitaji mtu mkomavu, mwenye miakaa kuanzia 30Huruma gani?
PointNdoa zinahitaji mtu mkomavu, mwenye miakaa kuanzia 30