Natafuta Mke

Natafuta Mke

wajingawatu

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2013
Posts
2,046
Reaction score
2,453
Natafuta mke mwenye vigezo vifuatavyo:
1) Awe na sura ya kuvutia (namba 8) na rangi ya ngozi asili
2) Elimu kuanzia Masters na kundelea
3) Awe tayari ameamua na kuelewa maana ya kuwa mke
4) Mcheshi, asiye na nyodo,mwenye mapenzi kwa watu wote
5) Mwenye uwezo wa kushauri na kushawishi
6) Awe na kazi au mfanyabiasha
7) Umri usizidi miaka 30, medium height and weight, awe Mchagga au Mmeru au Mmasai
Vigezo vyangu
Mimi ni mrefu, maji ya kunde,mcheshi na napenda utani, nina elimu ya kawaida, napenda watu na kusafiri, nina miaka 36 ni mfanya kazi, pia nina biashara Moshi na Arusha.

wenye nia ya dhati tafadhali waniPM
 
Hebu nijibu haya maswali hapa chini

-Hiyo # 1 inakuwaje hiyo sura namba 8
-Elimu ya kawaida ni ipi
 
Goshh..you are too selective!!!

Hmmmmmm we yako ya kawaida.. Af unataka ova size!!!mweee

wengi wa sifa izo are already taken..

Huyo umtengeneze mwenyewe...

Ila don luz ops..keep n prayn...
 
Hebu nijibu haya maswali hapa chini

-Hiyo # 1 inakuwaje hiyo sura namba 8
-Elimu ya kawaida ni ipi
Number nane kwangu ni msichama kama kim kardashian ; elimu ya kawaida ni ya degree ya uzamili kwenda juu.
 
Goshh..you are too selective!!!

Hmmmmmm we yako ya kawaida.. Af unataka ova size!!!mweee

wengi wa sifa izo are already taken..

Huyo umtengeneze mwenyewe...

Ila don luz ops..keep n prayn...
Najua una vigezo vyote ninavyotaka ila unanibania. Kitu cha kawaida kwangu siyo lazima kiwe hivyo kwako. Kwa uze wangu huu muda wa kumtengeneza umekwisha. Siyo wote wenye vigezo ninavyotaka wameishachukuliwa, Nitakomaa na nyie huku huku JF mpaka mnikubali
 
Sijui wapi wanabadilisha makabila!! Nataka nibadilishe hili kabila ili nikidhi vigezo..
 
Sijui wapi wanabadilisha makabila!! Nataka nibadilishe hili kabila ili nikidhi vigezo..
Huna haja ya kubadilisha kabila wala nini, jifunze kichagga au kimeru na utakuwa umequalify.
 
Najua una vigezo vyote ninavyotaka ila unanibania. Kitu cha kawaida kwangu siyo lazima kiwe hivyo kwako. Kwa uze wangu huu muda wa kumtengeneza umekwisha. Siyo wote wenye vigezo ninavyotaka wameishachukuliwa, Nitakomaa na nyie huku huku JF mpaka mnikubali

hahaaaa umenichekesha ad nkapaliwa!!! Mweeeh...
Kweli upo siriasi..

Asa we elimu na sura ya 8(naipatia picha siielewi)
we vyanini ivooo???kuna wene masters ila hovyo tuu..kama kina so called zilipendwa wa Juma necha!!

Kiruu Akhu babu ngoja nilipe kwanza ada ya mama Swts,..
 
una ela?maaan hiyo masters sikuipata kilelemama ati? ni.pm annual financial report yako ya 2012 mana nakidhi vigezo vyote.ila kipigo cha kimeru?!
 
masters ni elimu ya kawaida....sio tuliodrop form five sjui utatuitaje?lol
 
una ela?maaan hiyo masters sikuipata kilelemama ati? ni.pm annual financial report yako ya 2012 mana nakidhi vigezo vyote.ila kipigo cha kimeru?!
mimi siyo mmeru bali Mhaya wa Katoro . Financial statement sio muhimu ila elewa kwamba nalipa VAT kwa kila biashara yangu
 
masters ni elimu ya kawaida....sio tuliodrop form five sjui utatuitaje?lol
Ndiyo maana tunatofautiana eti. Form six inaweza kuwa bonge la elimu kama kwenye kijiji chako wewe tu ndiye unayo, lakini huku kwetu katoro PHD ni za kumwaga
 
Back
Top Bottom