Natafuta Mke

Governor of Bettors-GB

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2013
Posts
10,568
Reaction score
9,710
Habari,

Mie nimfanya biashara za kawaida.

Kabila Mmanyema mwenye asili ya Kigoma
Nipo Zanzibar kwa miaka kama 12.mwanzo niliajiriwa kisha nikajiajiri mwenyewe.
Nia watoto wawili wote wapo Dar kwa Grandparents wao wanasoma.(9 and 6 yrs)
Umri wangu 31

Nilikuwa nataka mwanamke wa kuoa kwa vigezo vifuatavyo
-Awe mnene,bila kuangalia size,hata kama mnene vipi ndio my taste.
-Awe ameishaolewa na kuachika,kwa huku Zanzibar wanaita Mjane
-Au awe amefiwa na mmewe
-Umri wowote,ila isiwe chini ya miaka 25 na isiwe zaidi ya miaka 54

anaweza kuwasiliana namie kwenye email thetiptop@outlook.com
 
Kila la heri Mkuu, ila kama utafanikiwa kupata aliyefiwa na mumewe hakikisha unafuatilia kwa karibu ili kujua chanzo cha kifo ikibidi hata kupima afya yake, inawezekana kabisa mume aligusa mawayawaya.

 
Umejieleza vzur sana mkuu, ila email adress yako kama inaeleza tabia flan hvi ambazo kwa wanaume watu wazima na wale wa makamo hua hawanaga!
 
Kama uko serious utapata,ila vigezo vya awe aliachika au amefiwa na mume ehee naona kama havikuwa na haja ya kuviweka.
 
Nikweli wakuu,kupima ni muhim na umri huo na mtandao ni ssue,
Anaweza kuni PM au mtu akasimama on her behalf.
Lengo la kupendekeza au vigezo vya kuwa aliachika au aliefiwa na mumewe nikwamba Mie naamini wanakuwa na upeo mkubwa na joto ya jiwe wameishaiona na changamoto nyingi wameishapitia.Licha ya kuwa suala la kuachika nalo ni tatizo inawezekana akawa yeye ndio tatizo ila nitalifuatilia.

Ambae Hajaolewa:-
Ila sio mbaya pia kwa mwenye vigezo vingine hata kama hajaolewa,sio mbaya,ile tu awe Mnene.
Na pia awe above 28,maana kama chini ya hapo wengi wanakuwa wasumbufu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…