Mashine za aina ipi Mkuu? maana hata Dushelele ni German mashine!.......tukupe?
kama una collateral, tin no, leseni nenda benk kachukue mkopo, siku hz kupata mkopo si kazi kama zamani.Nimewaelewa wakuu, thanks...Nahitaji OVEN Machine kwa ajili ya kupikia mikate.